MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2048; Mahusiano Ni Kazi…
Hakuna kitu chenye thamani kwenye maisha ambacho hakihitaji kazi katika kukijenga na kukilinda. Huwa tunafikiria kazi na biashara tunazofanya ndiyo zinahitaji kuweka kazi na juhudi, huku vitu vingine tukitegemea vitokee vyenyewe, bila sisi kuweka kazi. Hapo ndipo wengi wanapokwama, kwa kutokuweka kazi kwenye maeneo mengine ya maisha yao, yanaanguka na