MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA ASUBUHI; UNAKUWA KILE UNACHOFANYA…
“What you do, you possess. You must believe that eternal goodness exists that is within you, and that it grows and develops as long as you live.” —Ralph Waldo Emerson Unakuwa kile unachofanya, na siyo unachotamani kuwa. Ukifanya mema unakuwa mwema, ukifanya mabaya unakuwa mbaya. Huwezi kuwalazimisha watu wakuone unavyotaka