MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2052; Unawafanyia Wengine, Kwa Ajili Yako…
Moja ya faida ya uandishi na ualimu ni moja, unaweza kufanya kwa ajili ya wengine, lakini wewe mwenyewe ukanufaika sana na kile unachowafanyia wengine. Unaandika kitu kwa ajili ya watu wengine, lakini katika uandishi wako, unapata njia za kukabiliana na hali fulani kwenye maisha yako mwenyewe. Au unajiandaa kwa ajili