MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UKWELI NI SUMU KWA WAOVU…
“The truth is harmful only to evildoers. Those who do good love the truth.” – Leo Tolstoy Ukweli huwa haubembelezi, Huwa unabaki kuwa ukweli mara zote, bila ya kujali wengine wanaupokeaji. Tabia hii ya ukweli imekuwa ni sumu kubwa kwa wale wanaotenda maovu. Kwa sababu hata wajaribu kuuficha ukweli kwa