MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2064; Ukweli Ni Sasa…
Kwenye kitabu cha Thinking, Fast and Slow mwandishi ametushirikisha tafiti ambazo ukizitafakari kwa kina, utashangazwa sana na jinsi akili zetu zinavyofanya kazi. Kwenye moja ya tafiti hizo ameonesha kwamba, tunachokumbuka kuhusu siku za nyuma siyo uhalisia wa tukio zima, bali jinsi tukio lilivyoisha. Kwa maana hii basi, sehemu kubwa ya