MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UNAJIDANGANYA MWENYEWE…
“It is as easy to deceive oneself without perceiving it as it is difficult to deceive others without their perceiving it.” — François duc de La Rochefoucauld Ni rahisi sana kwako kujidanganya mwenyewe bila ya kujua kwamba unajidanganya. Ni vigumu sana kuwadanganya wengine, bila ya wao kujua kwamba unawadanganya. Hivyo