MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; TATIZO NI MATAKWA YAKO…
“The task of a philosopher: We should bring our will into harmony with whatever happens, so that nothing happens against our will and nothing that we wish for fails to happen.” —Epictetus Kinachofanya ukwame na kuvurugwa kwenye maisha, ni matokeo unayoyapata kuwa tofauti na matakwa yako. Kila unapofanya kitu, huwa