MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; HAKUNA ATAKAYEKUPA, CHUKUA MWENYEWE…
“Freedom is not something that anybody can be given; freedom is something people take and people are as free as they want to be.” – James Baldwin Chochote kile unachosubiria watu wengine wakupe, unapoteza muda wako. Hiyo ni kwa sababu hakuna yeyote mwenye nguvu ya kukupa chochote unachotaka, bali wewe