MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UKIONA NI RAHISI, PATA WASIWASI…
“Bad things are easy to do, good things are done only with work and effort.” — Dhammapada Matapeli wana siri moja ya kuwanasa watu wanaotaka kuwatapeli. Huwa wanafanya kitu kionekane kuwa rahisi kabisa kufanya. Na kwa kuwa watu wanapenda urahisi, basi hunasa kwenye mitego hiyo na kutapeliwa. Vitu vibaya na