MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; KAMA HUKOSEI…
“There are people who make no mistakes because they never wish to do anything worth doing.” – Johann Wolfgang von Goethe Kuna watu ambao wamekuwa wanafikiri kwamba kama hawakosei basi ni wakamilifu, kama hakuna wanaowapinga na kuwakosea basi wanafanya kilicho sahihi. Lakini huko ni kujidanganya. Ukweli ni huu; Kama hukosei