MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; USIJIFANYE KUELEWA USICHOELEWA…
“Do not pretend to understand something that you do not. It is one of the worst possible things to do.” – Leo Tolstoy Kosa kubwa kabisa unaloweza kufanya kwenye maisha yako ni kijifanya unaelewa kile ambacho hukielewi. Hilo ni kosa kwa sababu hutajifunza na hutaelewa. Kama kuna kitu ambacho hujui,