MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; KILA KINACHOTOKEA KITAKUWA NA MATUMIZI KWAKO…
Do not be concerned too much with what will happen. Everything which happens will be good and useful for you. — Epictetus Mtu mmoja alipotelewa na farasi aliyekuwa anamtegemea sana, majirani zake wakaja kumpa pole kwa upotevu huo. Siku chache baadaye farasi aliyepotea akarudi akiwa na farasi wengine wawili wa