MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; HATIMA YAKO NI MAAMUZI YAKO…
“The only person you are destined to become is the person you decide to be.” Ralph Waldo Emerson Watu huwa wanaamini kwamba kila mtu anazaliwa na hatima ya maisha yake. Kwamba mtu anazaliwa akiwa ameshapangiwa kabisa atakuwa na maisha ya aina gani. Wale wanaoamini hivi ndiyo ambao huwa hawaweki juhudi