MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; KUJUA HUJUI…
“As your island of knowledge grows, so too does the shoreline of ignorance.” – John Wheeler Watu wengi hufikiri lengo la kujifunza ni kujua kila kitu. Kabla hawajaanza kujifunza, huamini wanajua karibu kila kitu. Hivyo wanapoingia kwenye kujifunza, hasa kwa kujisomea vitabu ndiyo wanakutana na ukweli ambao hawajawahi kuujua. Kadiri