MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UMASIKINI NA UTAJIRI…
“If you shape your life according to nature, you will never be poor. If you shape your life according to people’s opinions, you will never be rich.” – Epicurus Ukiyaendesha maisha yako kulingana na asili, kamwe huwezi kuwa masikini. Kwa sababu asili inataka mambo machache sana na ambayo yako ndani