MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#SheriaYaLeo (226/366); Penyeza kwenye akili zao.
#SheriaYaLeo (226/366); Penyeza kwenye akili zao. Ili uweze kuwa na ushawishi kwa watu, lazima kwanza uweze kupenyeza kwenye akili zao. Mara nyingi watu ambao wana madaraka makubwa huwa hawapo tayari kusikiliza ushauri, hasa wa walio chini yao. Huku wale wasio na madaraka wakiona hawahitaji ushauri huo. Ili kuvuka ukinzani huo,