3087; Ni vita kubwa.

By | June 14, 2023
3087; Ni vita kubwa.Rafiki yangu mpendwa,Msimu wa HAPANA ambao tupo ni moja ya misimu migumu sana kwenye maisha yetu.Hiyo ni kwa sababu kupanga kusema HAPANA ni rahisi, lakini kumwangalia mtu usoni na kumwambia HAPANA ni zoezi gumu sana, ambalo wengi wanalishindwa.Watu wengi wanakwama kwenye kusema HAPANA kwa sababu wanataka wamkatalie

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz