3091; Tumwombee akue.

By | June 18, 2023
3091; Tumwombee akue.Rafiki yangu mpendwa,Mtoto anapozaliwa, huwa hatuwi na wasiwasi kama atakua au la.Tunachojua ni kadiri muda utakavyokuwa unaenda, kuna mabadiliko ya ukuaji ambayo tutayaona kwake.Hatuhitaji kuwa na wasiwasi wala kumwombea mtoto ndiyo akue.Ukuaji tayari upo ndani yake, kinachohitajika ni muda na mazingira sahihi ili ukuaji huo uweze kupatikana.Hivyo pia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz