3098; Tatizo la uongo.

By | June 25, 2023
3098; Tatizo la uongo.Rafiki yangu mpendwa,Chanzo kikubwa cha msongo kwenye maisha ya wengi ni uongo.Pale maisha ya mtu yanapokuwa tofauti na uhalisia wake, msongo mkubwa unajengeka ndani yake.Chanzo cha msongo huo mkubwa huwa ni hali ya kuigiza kitu ambacho hakipo.Watu huwa hawalioni tatizo la uongo kwa haraka.Awali wanaanza na uongo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz