3105; Anasa za watu wa kawaida.

By | July 2, 2023
3105; Anasa za watu wa kawaida.Rafiki yangu mpendwa,Watu wa kawaida, ambao ndiyo wengi, huwa hawapati mafanikio makubwa kwenye maisha yao.Na sababu kubwa kabisa inayozuia watu hao wa kawaida wasipate mafanikio ni kusumbuliwa na anasa nyingi ambazo zinahamisha sana umakini wao.Watu hao huwa wanaridhika sana haraka na vitu ambavyo hata havina

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz