3117; Usife.

By | July 14, 2023
3117; Usife.Rafiki yangu mpendwa,Bilionea Charlie Munger, mshirika wa karibu wa Warren Buffett huwa anaishi kwa kanuni hii; “Ninachotaka kujua ni wapi nikienda nitakufa, ili nisiende hapo.”Anaiita kanuni ya kugeuza, kuanza na matokeo fulani kisha kujiuliza nini kifanyike kwa sasa kuzuia.Munger ana miaka 99 na ni Bilionea, hivyo hiyo kanuni yake

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz