3119; Watu, matatizo, biashara, fedha.

By | July 16, 2023
3119; Watu, matatizo, biashara, fedha.Rafiki yangu mpendwa,Hii dunia ina watu,Watu hao wana matatizo mbalimbali. Biashara zenye mafanikio huwa zinajengwa kwenye msingi wa kutatua matatizo ambayo watu wanayo.Na fedha nyingi inaweza kutengenezwa kupitia biashara inayotatua matatizo ya watu.Hayo maelezo hapo juu yamebeba kila kitu ambacho mtu anapaswa kukijua ili kujenga biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz