3120; Omba unapojua utakataliwa.

By | July 17, 2023
3120; Omba unapojua utakataliwa.Rafiki yangu mpendwa,Hofu imekuwa inawazuia sana watu wengi kuchukua hatua kubwa kwenye maisha yao.Hizo ni hatua ambazo mtu anapaswa kuchukua ili kuweza kupata kile anachotaka.Moja ya hofu ambazo zimewazuia watu wengi ni hofu ya kukataliwa.Watu wanahofia kuomba kitu wanachokitaka kwa watu, kwa sababu wanajua kwenye kuomba wanaweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz