3130; Hata usipofanya, bado yatatokea.

By | July 27, 2023
3130; Hata usipofanya, bado yatatokea. Rafiki yangu mpendwa,Sababu nyingi tunazojipa kwa nini tumeshindwa kufanya mambo ya tofauti na makubwa siyo sahihi.Huwa ni visingizio tu vya kujifariji kwa namna ambayo hatutaumia kwa uzembe wetu wenyewe. Hivi karibuni nilikuwa natoa mafunzo ya mauzo kwenye moja ya timu tunazozifundisha.Nilichowafundisha ilikuwa ni dhana ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz