3133; Watu ambao hutaki kuwabadilisha.

By | July 30, 2023
3133; Watu ambao hutaki kuwabadilisha.Rafiki yangu mpendwa,Ndiyo maisha ni magumu, lakini huwa tunazidisha ugumu wake kwa kutaka vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wetu kuvidhibiti.Tunajihakikishia tutaweza kukamilisha vitu hivyo.Pale tunapojaribu kuvikamilisha na tukashindwa, tunapata sana msongo na kuona maisha ni magumu zaidi.Moja ya eneo ambalo tumekuwa tunazidisha ugumu wa maisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz