3137; Hivi kesho jua litachomoza?

By | August 3, 2023
3137; Hivi kesho jua litachomoza?Rafiki yangu mpendwa,Hebu fikiria kama hilo ndiyo swali ambalo ungekuwa unajiuliza kila siku kabla ya kulala, iwapo jua litachomoza au la.Fikiria ingebidi ujiulize hivyo kwa sababu jua linakuwa halieleweki, kuna siku linachomoza na kuna siku halichomozi kabisa au linachelewa.Unadhani maisha yako yangekuwa sawa na yalivyo sasa?Kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz