3156; Hakuna ‘ni mara moja tu’.

By | August 22, 2023
3156; Hakuna ‘ni mara moja tu’.Rafiki yangu mpendwa,Huwa tunaweka malengo na mipango mbalimbali ya mambo gani tutafanya na yapi ambayo hatutayafanya.Tunafanya hivyo kwa nia njema kabisa ya kuweza kupiga hatua ambazo tumepanga kupiga.Lakini inapokuja kwenye utekelezaji, mambo ndiyo huwa magumu sana kufanya kama ulivyopanga.Mtu unashawishika kwenda kinyume na utaratibu ambao

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz