3170; Umelipa ada.

By | September 5, 2023
3170; Umelipa ada. Rafiki yangu mpendwa,Hakuna kitu ambacho kinauma kwenye maisha kama kufanya makosa.Na hilo huwa linaumiza zaidi pale makosa yanayofanyika yanapokuwa ya kifedha.Yaani pale unapokosea na kuingia gharama kwenye makosa hayo huwa linaumiza sana. Mwenzetu mmoja hapa amekuwa na safari ya kwenda nje ya nchi kwa ajili ya kukuza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz