3187; Siyo ngumu kihivyo.

By | September 22, 2023
3187; Siyo ngumu kihivyo.Rafiki yangu mpendwa,Watu wengi wamekuwa wanalalamika maisha ni magumu na kuna ukweli fulani kwenye hilo.Lakini bado tukiangalia kwenye uhalisia, maisha siyo magumu kihivyo, bali watu wenyewe wamekuwa wanazidisha ugumu wa maisha kwa mambo wanayofanya.Kwa mfano kwa walio wengi, kuamka asubuhi na mapema ili kuianza siku kwa ushindi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz