3207; Simu ziite sasa.

By | October 12, 2023
3207; Simu ziite sasa.Rafiki yangu mpendwa,Nimekuwa naona watu wakiweka picha za bidhaa mbalimbali wanazouza kwenye mtandao (wasap status) pamoja na bei zake.Kisha wanaweka maelezo; simu ziite sasa.Nimekuwa nachukulia kauli hiyo kama utani tu na kuona hakuna muuzaji aliye makini anayekuwa anategemea kweli kwamba simu zitaita.Siku moja nilikuwa namfanyia usaili mtu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz