3213; Aibu.

By | October 18, 2023
3213; Aibu.Rafiki yangu mpendwa,Bilionea Peter Thiel amewahi kunukuliwa akisema watu wengi walioweza kuanzisha makampuni yaliyoleta mapinduzi makubwa hapa duniani, walikuwa na ugonjwa fulani wa akili ambapo hawajali wengine wanawachukuliaje.Pale watu hao wanapoamua kitu cha kufanya, wanakifanya kama walivyopanga bila ya kukubali kukwamishwa na kitu chochote.Katika kulijadili hilo, swali kuu la

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz