3216; Fokasi, Muda Na Msimamo.

By | October 21, 2023
3216; Fokasi, Muda Na Msimamo.Rafiki yangu mpendwa,Kila kitu kinafanya kazi,Kila biashara inalipa,Kila kazi inaweza kukupa chochote unachotaka.Lakini bado tunaona watu wanahangaika na mambo mengi na hawapati kile wanachotaka.Siyo kwamba watu hao hawajui wanachotaka, wanakuwa wanajua sana.Siyo kwamba wanakuwa hawajui wanachopaswa kufanya, wanakijua sana.Na wakati mwingine siyo kwamba ni wavivu au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz