3227; Kupigiwa makofi.

By | November 1, 2023
3227; Kupigiwa makofi.Rafiki yangu mpendwa,Sisi binadamu kama viumbe wa kijamii huwa tunapenda sana kukubalika na wengine kwenye chochote tunachofanya.Pale wengine wanapotusifia na kutupigia makofi kwenye kile tunachofanya ndiyo tunaona tunafanya kitu sahihi.Lakini ukweli ni kwamba hakuna yeyote aliyewahi kufanya makubwa ambaye alikubalika na kusifiwa mwanzoni.Wote walionekana kama wamechanganyikiwa kwa jinsi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz