3228; Waelewe watu.

By | November 2, 2023
3228; Waelewe watu.Rafiki yangu mpendwa,Tunaweza kusema kitu kimoja kwa uhakika kwamba biashara ni watu. Kila kitu tunachofanya kwenye biashara kinahusisha watu.Kila tunachofanya kwenye biashara, ni kupitia watu na kwa ajili ya watu. Yaani tunawatumia watu kufanya vitu kwa ajili ya watu. Hivyo basi, kama tunataka kupata mafanikio makubwa kwenye biashara,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz