3232; Umepanga kulipaje?

By | November 6, 2023
3232; Umepanga kulipaje?Rafiki yangu mpendwa,Tunajua kwamba hakuna kitu cha bure.Kwa chochote kile tunachotaka kwenye maisha, huwa kuna gharama ambayo lazima tuilipe.Zipo njia mbili za kulipa gharama ya kupata kile tunachotaka.Njia ya kwanza ni kulipa kwa fedha.Hapa unatoa fedha na kuwalipa wale ambao wanakusaidia kupata kile unachotaka.Njia hii japo inaweza kuonekana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz