3238; Akili ikikosekana, haya yawepo.

By | November 12, 2023
3238; Akili ikikosekana, haya yawepo.Rafiki yangu mpendwa,Warren Buffett amekuwa anasema unapotaka kuajiri, angalia vitu vitatu, uadilifu, akili na nguvu. Na anaendelea kusisitiza kama sifa ya kwanza haipo, hizo mbili zitakumaliza kabisa.Hizo ni sifa tatu muhimu sana kuzingatia ili kupata watu sahihi.Lakini pia ni sifa ambazo siyo rahisi kuzipata kwa walio

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz