3240; Ukuaji na changamoto.

By | November 14, 2023
3240; Ukuaji na changamoto. Rafiki yangu mpendwa,Changamoto na ukuaji ni vitu vinavyokwenda pamoja kwenye maisha, kila kimoja kikisababisha kingine.Ukuaji umekuwa unaleta changamoto mbalimbali kwenye safari ambayo mtu yupo.Na utatuzi wa changamoto ambazo mtu anakutana nazo, unapelekea ukuaji.Ukuaji na changamoto vitakwenda pamoja kwa kipindi chote cha maisha yako.Hivyo unapaswa kujifunza vyema

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz