3241; Kufanya na kupiga hatua.

By | November 15, 2023
3241; Kufanya na kupiga hatua. Rafiki yangu mpendwa,Ni wengi wanaokuwa na mipango mikubwa kwenye maisha yao.Lakini wanaochukua hatua ya kufanya kwenye mipango waliyonayo ni wachache sana.Watu wanaopanga lakini hawafanyi, siyo kwa sababu hawawezi kufanya, bali ni kwa sababu wanakosa mwongozo sahihi wa kufanya.Ili wewe uweze kufanya na kupiga hatua kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz