3245; Kabla ya kuhangaika na magumu.

By | November 19, 2023
3245; Kabla ya kuhangaika na magumu.Rafiki yangu mpendwa,Kwenye safari ya mafanikio, watu huwa wanapenda kuhangaika na mambo makubwa na magumu.Lakini unakuta watu hao hao bado hawajaweza kufanya yale ya msingi kabisa kwenye eneo husika.Yale ya msingi huwa yanaoneka ni rahisi na yasiyo na mchango mkubwa.Lakini ndiyo mambo magumu kutekeleza na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz