Author Archives: Dr. Makirita Amani

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

3206; Raha ya ukuaji.

By | October 11, 2023

3206; Raha ya ukuaji. Rafiki yangu mpendwa,Viumbe wote hai huwa wana sifa ya ukuaji.Na sisi sote huwa tunafurahia sana ukuaji kwenye viumbe wote hai wanaotuzunguka. Ukiwa na wanyama unaowafuga au mimea uliyopanda, ukuaji ndiyo kitu ambacho unakifuatilia sana.Unakuwa unajua kila hatua ambapo kitu kipo na hatua gani inayofuata kwenye ukuaji. (more…)

3205; Chini ya hapo unatafuta matatizo.

By | October 10, 2023

3205; Chini ya hapo unatafuta matatizo. Rafiki yangu mpendwa,Kwenye kitabu cha ujumbe kwenda kwa Garcia, tumejifunza madaraja matano ya watu.Na tukaona tunahitaji kufanya kazi na watu wa daraja la kwanza ambao wanafanya kitu sahihi bila kuambiwa na daraja la pili ambao wanafanya kitu sahihi baada ya kuambiwa mara moja.Kufanya kazi (more…)

3204; Usimwache akapoa.

By | October 9, 2023

3204; Usimwache akapoa. Rafiki yangu mpendwa,Mara baada ya mteja kununua kwako, nini huwa kinafuata?Kwa walio wengi, mteja anaponunua muuzaji anafurahia hayo mauzo kisha kumshukuru na kumwacha aende zake. Hili ni kosa kubwa ambalo limekuwa linawanyima wauzaji fursa ya kufanya mauzo mengi zaidi.Mara baada ya mteja kununua, huwa anakuwa kwenye moto (more…)

3203; Inachukua muda.

By | October 8, 2023

3203; Inachukua muda. Rafiki yangu mpendwa,Sehemu kubwa ya mambo tunayojifunza kwenye maisha siyo mapya.Bali tunakuwa tunarudia mambo yale yale kwa namna tofauti tofauti. Na hiyo ni kwa sababu sisi binadamu huwa tunazoea na kusahau mambo haraka sana.Tunakuwa tunajua kabisa, lakini kwa mazoea na usahaulifu, tunapotezea na mwishowe tunapata madhara. Kitu (more…)

3202; Asilimia 100.

By | October 7, 2023

3202; Asilimia 100. Rafiki yangu mpendwa,Kuna namna ya kufikiri tuliyonayo ambayo imekuwa ni kikwazo kwetu kuweza kupiga hatua kubwa. Namna hiyo ni kutaka uhakika kwenye kila jambo ndiyo tulifanye.Na siyo tu uhakika, bali uhakika wa asilimia 100.Yaani tunataka kitu kiwe cha uhakika kabisa ndiyo tukifanye. Madhara ya hilo ni pale (more…)

3201; Madhara ya kutokusikiliza.

By | October 6, 2023

3201; Madhara ya kutokusikiliza. Rafiki yangu mpendwa,Mtu mmoja amewahi kuandika kwamba unapochagua menta au kocha kwenye maisha yako, unatakiwa umsikilize kile anachokuambia. Hiyo ni kwa sababu lengo la kuwa na menta au kocha ni kupunguza urefu wa safari, kwa kuepuka kurudia makosa ambayo yeye amewahi kufanya au alishajifunza. Lakini huwa (more…)

3200; Kushindwa ni kuacha.

By | October 5, 2023

3200; Kushindwa ni kuacha. Rafiki yangu mpendwa,Karibu kila mtu kwenye maisha anataka kupata mafanikio makubwa. Lakini kwenye uhalisia ni wachache sana ambao wamefanikiwa.Wengi sana wameshindwa. Na unapoangalia kwa karibu wale walioshindwa,Unagundua siyo kwa sababu ya kukosea au kukutana na ugumu.Bali ni kwa sababu waliacha kufanya. Iko hivi, wanaofanikiwa na wanaoshindwa (more…)

3199; Mauzo ya Kibabe.

By | October 4, 2023

3199; Mauzo ya Kibabe. Rafiki yangu mpendwa,Niwe mkweli kwamba huwa napenda sana mambo ya kibabe.Hasa pale ubabe huo unapomwezesha mtu kuvuka hofu na kuchukua hatua.Naamini bila ya shaka yoyote kwamba kwenye hii dunia bila ubabe wa aina fulani, huwezi kupata makubwa unayotaka.Maana kila kitu ni cha kupambania na hakuna nafasi (more…)

3198; Siyo kilema.

By | October 3, 2023

3198; Siyo kilema. Rafiki yangu mpendwa,Ni mara ngapi umewahi kuwaambia watu kwamba lengo lako ni kujenga utajiri mkubwa kwenye maisha yako, halafu watu hao wakaanza kukuonyesha lengo lako siyo sahihi?Wanakuambia kuweka lengo la utajiri ni tamaa na hata hivyo pesa huwa hazileti furaha! Sasa hebu niambie kitu kimoja, hao watu (more…)