Barua ya XXI; Kuhusu Sifa ambazo falsafa ya Ustoa inatupatia.
Barua ya XXI; Kuhusu Sifa ambazo falsafa ya Ustoa inatupatia. Rafiki yangu Mstoa, Sisi binadamu huwa tunapenda kuwa na sifa fulani mbele ya wengine.Huwa tunapenda umaarufu kupitia yale tunayofanya au tunayokuwa nayo kwenye maisha.Na tamaa hiyo ya sifa na umaarufu ndiyo inawasukuma wengi kufanya hata mambo yasiyo sahihi ili tu (more…)