#TAFAKARI YA LEO; INUKA UENDELEE…
Unapoanguka, hupaswi kubaki pale ulipoangukia, badala yake unapaswa kuinuka na kuendelea na safari yako. Kila mtu kwenye maisha huwa anaanguka, wanaobaki walipoanguka wanashindwa na wanaoinuka na kuendelea wanafanikiwa. Na hilo halitatokea mara moja, bali litajitokeza mara nyingi, hata ukianguka mara 10 amka mara ya 11 na uendelee na safari. Kama (more…)