#TAFAKARI YA LEO; MATOKEO HAYAHALALISHI NJIA…
Watu wamekuwa wanatumia njia zisizo sahihi ili tu kupata matokeo wanayoyataka. Wakiamini kilicho muhimu ni matokeo na siyo njia iliyoleta matokeo hayo. Wanaamini matokeo yakiwa mazuri basi njia itakuwa sahihi. Lakini hilo siyo kweli, tumeona wengi wakianguka baada ya kupata matokeo waliyotaka kwa sababu njia walizotumia hazikuwa sahihi. Hakikisha unaanza (more…)