#TAFAKARI YA LEO; FURAHA SIYO RAHA MUDA WOTE…
Hadithi za utotoni zilikuwa zinamalizia na baada ya mateso wakaishi kwa raha mustarehe maisha yao yote. Hizo ni hadithi na siyo uhalisia. Hakuna maisha ya raha muda wote, kila wakati kuna ugumu au changamoto unakabiliana nayo na ukivuka inakuja nyingine. Furaha kwenye maisha ni kujua maana ya maisha yako, kujua (more…)