#TAFAKARI YA LEO; KUIFANYA DUNIA IWE UNAVYOTAKA…
Hicho ni kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako kabisa. Lakini wengi wamekuwa wakihangaika nacho, wakitaka kuifanya dunia iende wanavyotaka wao na watu wawe vile wanavyotaka. Hilo linaposhindikana wanaumia na kukata tamaa. Mtu pekee unayeweza kumdhibiti na kumbadili hapa duniani ni wewe mwenyewe. Hivyo peleka nguvu zako kwenye kujibadili na (more…)