#TAFAKARI YA LEO; RAHISI HAINA THAMANI…
Watu wengi wanahangaika kutafuta njia rahisi na za mkato za kupata mafanikio makubwa. Na hilo huwapeleka kufanya vitu ambavyo ni rahisi na vinavyofanywa na kila mtu. Matokeo yake ni hawafanikiwi, kwa sababu kile kinachofanywa na kila mtu hakithaminiwi. Jamii itakuthamini kama unafanya kitu ambacho inakihitaji sana, lakini hakuna mwingine anaweza (more…)