Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TAFAKARI YA LEO; KURIDHIKA NA KUYAFURAHIA MAISHA…

By | December 18, 2020

“They who have decided to dedicate their lives to spiritual perfection will never be dissatisfied or unhappy, because, all that they want is in their power.” —Blaise Pascal Kama unataka kuridhika na kuyafurahia maisha yako, Basi jitoe kwa ajili ya ukuaji wa kiroho. Unapojitoa kwa ajili ya ukuaji wa kiroho, (more…)

#TAFAKARI YA LEO; MAANA HALISI YA UJASIRI…

By | December 17, 2020

“Courage is not having the strength to go on: it is going on when you don’t have the strength.” — Theodore Roosevelt Wengi hufikiri ujasiri ni kuwa na nguvu ya kuendelea na mapambano pale mambo yanapokuwa magumu. Lakini ukweli ni ujasiri ni kuweza kuendelea hata pale unapokuwa huna nguvu kabisa. (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UKWELI HAUHITAJI KELELE NYINGI…

By | December 15, 2020

“Only misconceptions need to be supported by elaborate arguments. Truth can always stand alone.” – Leo Tolstoy Ukweli hauhitaji kelele nyingi, una nguvu ya kusimama wenyewe. Lakini uongo unahitaji kelele nyingi za kulazimisha ukubalike. Uongo unahitaji maelezo mengi ili kuwashawishi watu waukubali. Na uongo huwa unalazimisha watu waamini, tena bila (more…)

#TAFAKARI YA LEO; HAINA HARAKA LAKINI INAKAMILISHA…

By | December 14, 2020

“Nature does not hurry, yet everything is accomplished.” — Lao Tzu Asili huwa haina haraka, lakini huwa inakamilisha kila kitu. Asili huwa inafanya kila jambo kwa wakati wake na hivyo kukamilisha kila kitu. Lakini sisi na haraka zetu tunaacha mengi ambayo hatujakamilisha. Tuna mengi tunafanya na kuishia njiani. Pamoja na (more…)

#TAFAKARI YA LEO; AMINI KWENYE MATENDO…

By | December 13, 2020

“Do not believe in words, yours or others’; believe in the deeds.” – Leo Tolstoy Kusema ni rahisi, Kupanga ni rahisi, Lakini kuchukua hatua kwenye yale ambayo mtu anasema na kupanga siyo rahisi. Hivyo unachopaswa kuamini kwako mwenyewe na hata kwa wengine siyo maneno, bali matendo. Usidanganyike na kile watu (more…)