Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TAFAKARI YA LEO; MANENO YANA NGUVU KUBWA…

By | November 19, 2020

“Words have more power than any one can guess; it is by words that the world’s great fight, now in these civilized times, is carried on.” – Mary Shelley Maneno yana nguvu kubwa kuliko mtu yeyote anavyoweza kudhani. Maneno yana nguvu ya kuumba chochote. Maneno yameanzisha vita vilivyoua wengi, yamejenga (more…)

#TAFAKARI YA LEO; MAARIFA YALIYO MUHIMU…

By | November 17, 2020

“The most important knowledge is that which guides the way you lead your life.” – Leo Tolstoy Tunaishi kwenye zama za mafuriko ya maarifa na taarifa. Vitabu vilivyoandikwa ni vingi mno, kiasi kwamba hakuna anayeweza kusoma hata asilimia 1 tu ya vitabu vyote. Makala, video na sauti zenye mafunzo mbalimbali (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KINACHOFANYIKA KWA UPENDO, KINAFANYIKA VYEMA…

By | November 16, 2020

“Whosoever loves much performs much, and can accomplish much, and what is done in love is well done!” – Van Gogh Yule mwenye upendo zaidi, anaweka juhudi zaidi na kuzalisha matokeo makubwa zaidi. Kile kinachofanyika kwa upendo, kinafanyika kwa ubora wa hali ya juu. Kwenye KISIMA CHA MAARIFA, imani yetu (more…)

#TAFAKARI YA LEO; SIYO KUFANYA ZAIDI…

By | November 15, 2020

“It’s not always that we need to do more but rather that we need to focus on less.” — Nathan W. Morris Tunaishi kwenye zama ambazo kila mtu anasukumwa kufanya zaidi. Lakini kadiri watu wanavyofanya mambo mengi zaidi, ndivyo wanavyochoka zaidi na kutokufanikiwa. Kwa asili, matokeo makubwa hayatokani na kufanya (more…)

#TAFAKARI YA LEO; NJITI YA KIBERITI HAIWAKI YENYEWE…

By | November 14, 2020

“Each of us is born with a box of matches inside us but we can’t strike them all by ourselves.” — Laura Esquivel Njiti ya kibeririti ina uwezo mkubwa wa kuanzisha moto, lakini haiwezi kuanzisha moto huo yenyewe. Ni lazima isubuliwe na kitu kingine ndiyo iweze kuanzisha moto. Chuma pia (more…)

#TAFAKARI YA LEO; USIKILIZE MWILI WAKO, UNA MENGI YA KUKUAMBIA…

By | November 13, 2020

“A man is well equipped for all the real necessities of life if he trusts his senses, and so cultivates them that they remain worthy of being trusted.” – Johann Wolfgang von Goethe Miili yetu sisi binadamu huwa ina milango mingi ya fahamu. Acha ile mitano ambayo kila mtu anaijua (more…)

#TAFAKARI YA LEO; HAITOSHI KUJUA, FANYA…

By | November 12, 2020

“It is not enough to know, we must also apply; it is not enough to will, we must also do.” – Johann Wolfgang von Goethe Kujua pekee haitoshi, ni lazima uweke kwenye matendo kile unachojua ndiyo uweze kunufaika nacho. Hekima ni kuweka kwenye matendo maarifa unayoyapata. Haijalishi unajua kiasi gani, (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UBAYA UNAJIFANYIA MWENYEWE…

By | November 11, 2020

“To do harm is to do yourself harm. To do an injustice is to do yourself an injustice — it degrades you.” — Marcus Aurelius Unapowafanyia wengine ubaya, siyo wao pekee wanaoathirika, bali wewe mwenyewe unaathirika zaidi. Huwezi kuwadanganya wengine kama hujajidanganya wewe mwenyewe. Unapowaumiza wengine, ni kwa sababu ndani (more…)

#TAFAKARI YA LEO; MSIMAMO NI MGUMU…

By | November 10, 2020

“It’s easy to be great. It’s hard to be consistent.” – Steve Martin Kuna watu wengi ambao huwa wanafanikiwa kupiga hatua fulani, lakini baada ya hapo wanaanguka vibaya. Kufanikiwa siyo kitu kigumu sana, ila kubaki kwenye mafanikio hayo ndiyo kitu kigumu na kinachowashinda wengi. Kubaki kwenye mafanikio inamtaka mtu kuwa (more…)