Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TAFAKARI YA LEO; UMASIKINI NA UTAJIRI…

By | October 30, 2020

“If you shape your life according to nature, you will never be poor. If you shape your life according to people’s opinions, you will never be rich.” – Epicurus Ukiyaendesha maisha yako kulingana na asili, kamwe huwezi kuwa masikini. Kwa sababu asili inataka mambo machache sana na ambayo yako ndani (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KITAKACHOBADILI MAISHA YAKO…

By | October 27, 2020

“Life will only change when you become more committed to your dreams than you are to your comfort zone.” – Bill Cox Maisha yako yatabadilika pale utakapojitoa zaidi kwa ajili ya ndoto zako kubwa kuliko kujitoa zaidi kwenye mazoea. Vita ya kwanza na kubwa kabisa unayopaswa kuishinda ni kuachana na (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UNAJALI MAONI YA NANI?

By | October 25, 2020

“It never ceases to amaze me: We all love ourselves more than other people, but care more about their opinion than our own.” — Marcus Aurelius Kila mtu huwa anajipenda mwenyewe kuliko anavyowapenda wengine. Hii ndiyo njia pekee iliyotuwezesha sisi binadamu kufanikiwa. Maana kwa kujipenda na kujijali, inakuwa rahisi kuwapenda (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UNAVUNA ULICHOPANDA…

By | October 24, 2020

“Whatever we plant in our subconscious mind and nourish with repetition and emotion will one day become a reality” — Earl Nightingale Watu huwa wanayalalamikia maisha yao wakiamini kuna watu wamepelekea wao kufika pale walipo sasa. Lakini ukweli ni kwamba popote mtu alipo, ni mavuno ya kile alichopanda kwenye fikra (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KUJUA HUJUI…

By | October 23, 2020

“As your island of knowledge grows, so too does the shoreline of ignorance.” – John Wheeler Watu wengi hufikiri lengo la kujifunza ni kujua kila kitu. Kabla hawajaanza kujifunza, huamini wanajua karibu kila kitu. Hivyo wanapoingia kwenye kujifunza, hasa kwa kujisomea vitabu ndiyo wanakutana na ukweli ambao hawajawahi kuujua. Kadiri (more…)

#TAFAKARI YA LEO; HATIMA YAKO NI MAAMUZI YAKO…

By | October 22, 2020

“The only person you are destined to become is the person you decide to be.” Ralph Waldo Emerson Watu huwa wanaamini kwamba kila mtu anazaliwa na hatima ya maisha yake. Kwamba mtu anazaliwa akiwa ameshapangiwa kabisa atakuwa na maisha ya aina gani. Wale wanaoamini hivi ndiyo ambao huwa hawaweki juhudi (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KILA KINACHOTOKEA KITAKUWA NA MATUMIZI KWAKO…

By | October 21, 2020

Do not be concerned too much with what will happen. Everything which happens will be good and useful for you. — Epictetus Mtu mmoja alipotelewa na farasi aliyekuwa anamtegemea sana, majirani zake wakaja kumpa pole kwa upotevu huo. Siku chache baadaye farasi aliyepotea akarudi akiwa na farasi wengine wawili wa (more…)