Category Archives: KUTOKA KWA KOCHA

Hizi ni makala kwa wasomaji wote wa KISIMA CHA MAARIFA.

#TAFAKARI YA LEO; UKIONA NI RAHISI, PATA WASIWASI…

By | September 20, 2020

“Bad things are easy to do, good things are done only with work and effort.” — Dhammapada Matapeli wana siri moja ya kuwanasa watu wanaotaka kuwatapeli. Huwa wanafanya kitu kionekane kuwa rahisi kabisa kufanya. Na kwa kuwa watu wanapenda urahisi, basi hunasa kwenye mitego hiyo na kutapeliwa. Vitu vibaya na (more…)

#TAFAKARI YA LEO; SIYO KINACHOTOKEA, BALI WEWE…

By | September 18, 2020

“There are no accidents so unfortunate from which skilful men will not draw some advantage, nor so fortunate that foolish men will not turn them to their hurt.” – François Duc De La Rochefoucauld Huyachukulii mambo kwa jinsi yalivyotokea, Bali unayachukulia mambo jinsi ulivyo wewe. Hata kama kumetokea jambo baya (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUZUIA USIFANYE MAKUBWA…

By | September 17, 2020

“Those who apply themselves too closely to little things often become incapable of great things.” – François Duc De La Rochefoucauld Kinachokuzuia wewe usifanye makubwa, Ni kuhangaika na mambo madogo madogo. Unatia bidii na umakini kwenye mambo madogo na yasiyo na tija, unayafanya vizuri kabisa, lakini hayana mchango wowote kwako. (more…)

#TAFAKARI YA LEO; MATATIZO ULIYONAYO TAYARI YANAKUTOSHA…

By | September 13, 2020

“If I am to listen to another man’s opinion, it must be expressed positively. Of things problematical I have enough in myself.” – Johann Wolfgang von Goethe Tayari una matatizo ya kutosha kwenye maisha yako, ya nini kuendelea kutafuta matatizo zaidi? Tayari una mengi hasi yanayoendelea kwenye maisha yako, ya (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UNATABIRIKA KIRAHISI…

By | September 12, 2020

“Tell me to what you pay attention, and I’ll tell you who you are.” – Ortega Gasset Mtu yeyote, asiyejua chochote kuhusu wewe, anaweza kutabiri kwa usahihi wewe ni mtu wa aina gani, kwa kuangalia vitu unavyojisumbua navyo. Kule unakopeleka umakini wako na nguvu zako, ndiko kunakukujenga. Unakuwa kile unachofikiri (more…)

#TAFAKARI YA LEO; UNATAFUTA WAPI?

By | September 11, 2020

“A wise man looks for everything inside of himself; a mad man seeks for everything in others.” —Confucius Mwenye hekima hutafuta kila kitu ndani yake, Mpumbavu hutafuta kila kitu nje yake. Mwenye hekima anajua maisha yake ni jukumu lake na analibeba kila ya kulalamika au kunung’unika. Mpumbavu anaona maisha yake (more…)