#TAFAKARI YA LEO; UKIONA NI RAHISI, PATA WASIWASI…
“Bad things are easy to do, good things are done only with work and effort.” — Dhammapada Matapeli wana siri moja ya kuwanasa watu wanaotaka kuwatapeli. Huwa wanafanya kitu kionekane kuwa rahisi kabisa kufanya. Na kwa kuwa watu wanapenda urahisi, basi hunasa kwenye mitego hiyo na kutapeliwa. Vitu vibaya na (more…)